Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,451
Jiongeze mkuu, tumia freebasics
Ndio kitu gan hki mkongwe!
Jiongeze mkuu, tumia freebasics
Hujui siku hizi mwanamke mwenye wowowo ana confidence kuliko mwenye degree?
Sent using Jamii Forums mobile app


Unaweza kutumia Jamii Forums nila kuwa na bundleNdio kitu gan hki mkongwe!
HahahaWowowo ndo linaleta maendeleo ya familia
Kwanza zaman akat npo mdogo mwalimu wa hesabu kila nkikosa ananambia lalisha kalio zako chini sio wewe nachapa bali ni ujinga natoa
Bas me toka siku hiyo najuaga ujinga unakaa matakoni
Nkiona demu ana matako makubwa najuaga ni ujinga tu amejaza![]()
Unaweza kutumia Jamii Forums nila kuwa na bundle
Maendeleo ya nini sasa na wewe? Hayo si unaleta weweWowowo ndo linaleta maendeleo ya familia
Kwanza zaman akat npo mdogo mwalimu wa hesabu kila nkikosa ananambia lalisha kalio zako chini sio wewe nachapa bali ni ujinga natoa
Bas me toka siku hiyo najuaga ujinga unakaa matakoni
Nkiona demu ana matako makubwa najuaga ni ujinga tu amejaza![]()
Namna ya kutumia free basis - JamiiForumsSo likiisha naendelea kutumia bure au kuna procedure?
Unamaanisha mama yako, sio mimi tuliyekutana barabaraniSasa huu msemo wa katika kila mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke una maana gani!???
Fuata hiyo link jombaa ila hakikisha line ya Tigo ndio unatumia kwa dataSo likiisha naendelea kutumia bure au kuna procedure?
mie nipokuna mtu yuko macho muda huu
Tupo salama mkuu.... Ndo unaingia lindo!?walinzi wenzangu mu hali gani?
toka asubuhi napiga kazi ka mbwa koko mkuu sasa ndo naona nipumzike kwa kuwajulia wadau hali
Karibu sana mkuu....toka asubuhi napiga kazi ka mbwa koko mkuu sasa ndo naona nipumzike kwa kuwajulia wadau hali