JamiiForums Usiku wa manane
Unamaanisha mama yako, sio mimi tuliyekutana barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu hiyo haimaanishi mama ina maanisha mke au mpenzi

Sasa huyo mke au mpenz akiwa hana kitu chochote kichwani cha kumwezesha mumewe kupata maendeleo zaid ya kutumia tu pesa yake mume hatopata maendeleo ya kueleweka maana mke/mchumba hana chochote cha kumpa zaidi ya uchi na wowowo lake

Wise wife/fiance humwezesha mwenzake kufikia maendeleo makubwa

Over!
 
Halafu hiyo haimaanishi mama ina maanisha mke au mpenzi

Sasa huyo mke au mpenz akiwa hana kitu chochote kichwani cha kumwezesha mumewe kupata maendeleo zaid ya kutumia tu pesa yake mume hatopata maendeleo ya kueleweka maana mke/mchumba hana chochote cha kumpa zaidi ya uchi na wowowo lake

Wise wife/fiance humwezesha mwenzake kufikia maendeleo makubwa

Over!
Unamaanisha mama yako, sio mimi tuliyekutana barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan hata mawazo ambayo ni kama ushauri pekee yanatosha kabisa..
Yaweza kukufanya uzidi kuwa na pesa ndefu

Sio lazima mke awe na kipato yeye pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhan hata mawazo ambayo ni kama ushauri pekee yanatosha kabisa..
Yaweza kukufanya uzidi kuwa na pesa ndefu

Sio lazima mke awe na kipato yeye pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijaongelea mwanamke awe na kipato nazungumzia

-uwezo wa kushauri ifaavyo kea maendeleo ya familia(sio anajua kushauri viwanja vya kwenda kula starehe tu)

-uwajibikaji katika ndoa yake na fanilia yake

-malezi ya watoto katika maadili sio ealelewe na housegirl tu

-ubunifu katika kuleta maendeleo ya familia mfano miradi,bajeti na ukasiriamali
 
Ok, nimekupata.
Sijaongelea mwanamke awe na kipato nazungumzia

-uwezo wa kushauri ifaavyo kea maendeleo ya familia(sio anajua kushauri viwanja vya kwenda kula starehe tu)

-uwajibikaji katika ndoa yake na fanilia yake

-malezi ya watoto katika maadili sio ealelewe na housegirl tu

-ubunifu katika kuleta maendeleo ya familia mfano miradi,bajeti na ukasiriamali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifunga ndoa mnaunganishwa kuwa kitu kimoja,
So akisema maendeleo unayaleta wew ni sawa na akisema maendeleo tutayaleta sote.

Kakupa kipaumbele tu,

Yani akiulizwa mladi wa biashara niwa nani, atasema wa mume wangu, japo ni yeye ndie alitoa wazo na wew ukatoa mtaji. Mu kitu kimoja lakini.
Sasa kuna bidada hapa kanambia maendeleo yann sasa ukinioa maendeleo unayaleta wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifunga ndoa mnaunganishwa kuwa kitu kimoja,
So akisema maendeleo unayaleta wew ni sawa na akisema maendeleo tutayaleta sote.

Kakupa kipaumbele tu,

Yani akiulizwa mladi wa biashara niwa nani, atasema wa mume wangu, japo ni yeye ndie alitoa wazo na wew ukatoa mtaji. Mu kitu kimoja lakini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh asante kwa kunipa darasa mkuu
 
Back
Top Bottom