Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,264
Nipo sana ila ni mpenzi mtazamaji tu huwa nakuangalia tuKumbe unafikaga huku


Nipo sana ila ni mpenzi mtazamaji tu huwa nakuangalia tuKumbe unafikaga huku


Majukumu ya ndoa


Unanichabo tu eeeeNipo sana ila ni mpenzi mtazamaji tu huwa nakuangalia tu![]()
Asantee

Eeeh najua nawewe kuna mahali huwa unanichabo alafu unasema 'hiiiiiiiiii'Unanichabo tu eeee


Eeeh najua nawewe kuna mahali huwa unanichabo alafu unasema 'hiiiiiiiiii'![]()


kama kawa babalaiii hasa kwenye kandanda nasemaga hiiiiiii"

nalisubiriaa kwa hamu nizamiage huko kwa prime ministerkama kawa babalaiii hasa kwenye kandanda nasemaga hiiiiiii"




uzi wa Liverpool au?Endelea kusubirinalisubiriaa kwa hamu nizamiage huko kwa prime minister
Sio huko tu na kwingineuzi wa Liverpool au?
Sawa baba la baba
Duh asee itabidi saivi na mimi niwe mpenzi msomaji sasaSio huko tu na kwingine

Uzi wetu pendwa kabisa naona una karibia kufa mama laooooSawa baba la baba
Hapana we endelea tu kua mpenzi mchangiajiDuh asee itabidi saivi na mimi niwe mpenzi msomaji sasa![]()
Kweli aisee unasikitisha..hv ata Thad haonekani huku tena ee
Mara moja moja na wewe ndio hivyo tena umejiunga kwenye group la wasoma commentKweli aisee unasikitisha..hv ata Thad haonekani huku tena ee
Umeniona lakin kwenye avator?Mara moja moja na wewe ndio hivyo tena umejiunga kwenye group la wasoma comment
Sent using Jamii Forums mobile app