Zuleykha
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,413
- 2,145
ndio usikuusiku?????
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
ndio usikuusiku?????
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Mkuu
Karibu mkuu
hapana mkuu
Mimi na wewe tuko macho bado wengine hawajalala lakini wanasinzia, ngoja tuwasubiri hapa kivulinihapana mkuu
Na test mitambo
mkuu mtaani kwetu wezi wanatesa kila ukisikia kukulu kukulu unakurupuka kuchungulia njee kuna nini dah!Mkuu
Na test mitambo
Ukiwa kijijini unaona nyota nyingi zaidi kwa kuwa anga inakuwa giza tofauti na hapa mjini mwanga ni mwingi kutokana na nishati mbalimbaliHabarini za usiku huu yani huku kuna nyota nyingi sana angani sjui huko kwenu
Karibu, pita mlango uko wazi
Vipi mitambo imeshakaa sawa?Kwema mkuu
Na test mitambo
Uniletee pipi kijiti
