Kazana na lindo kamanda. Manasiasa yaache yanajuana...Alishachimba mkwara kwamba mtu atakayemgusa kwao watateketea mpaka panya. Waha si wa mchezo mchezo atiSaa ngp huko? Nasikia zitto kaambiwa atauawa.
Huko nako kuna watu wenye ushetani balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app



Unaongea kwa mafumbo dah...Utafikiri Plato bwana? Mi wala sikuelewi rafikiMission accomplished!
Dhambi yangu nishaitubu na lengo langu lishafanikiwa na sasa namuona SYB niliyemzoea![]()



Za asubuhi
Okey vizuri. Ngoja nijipumzishe, mungu akijalia baadae. Uwe na usiku mwemaHatujambo tunasogeza siku. ....