KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,335
Mission accomplished!Nambie hiyo dhambi ili nikusaidie jakani2



Mapema sana sasa...
DSM - TZ
Nilikusudia sehemu ya kilaji ama kinywaji ulipo kwa wakati huu. mi nipo oysterbay mzinga way ofisi za UN kuna kipub hapa jirani ndio nagonga safari zangu mdogo mdogo.DSM - TZ
Nishakaribia....nashukuru
Katika vitu ambavyo huwa vinanipa shida kujua maana zake ni hizi emoj.
Uko swalama lakini ?
We mwanamke hivi uko hai kumbe ?
Cha usiku mambo?![]()
Mitaa ya home hiyo. ...endelea nakuja.