Ama kuhusu mimi kuwa mwalimu wako siwezi sababu sijapewa ijaza na mwalimu wangu wa Kiswahili ya kuweza kumfundisha mtu,siku nikipewa ijaza nitatoka kifua mbele na kutangaza darasa za Kiswahili ila kwa sasa mimi bado ni mwanagenzi chipukizi.
Hapa hapa mbona
Waenda wapi? Usiniache tafadhali kuna mtu namuogopa humuNapita
Unazidi kunipoteza....
sawa nakusuburia upewe IJAZA
Njema kabisa. Sijui huko ulipo?Nakuona, kimya kimya, za masiku?
Nani tenaWaenda wapi? Usiniache tafadhali kuna mtu namuogopa humu
Uma roho ngum ww mtu jaman.....!!!!Hamjambo wapendwa wangu?
Mmmh! Ngoja nikae kimyaNani tena
Kime elewekaHapa sio mahala pake,tuta haribu majukumu yetu ya ulinzi,kwani tumesisitizwa sana kuweka kila kitu mahala pake,wale watu wa maneno husema HEKIMA.
Mmmh! Ngoja nikae kimya
Kime eleweka
Hapo sawa maana niliogopa nikajua kuna mgongano wa kimaslahi!
Osiogope tupo pamoja. Upo fresh?Mmmh! Ngoja nikae kimya
Wala hata si hivyo bestie angu,ngoja nimwite vizuri aje nikutambulishe
Cole Williams njoo mara moja
Jamaa njoo uone hukuZamani sana sijaona salam yako mrembo....
Kime eleweka