Naelewa bro,Miye niko salama bro.
Ni pilika pilika tu na majukumu.
We hujambo? Masela wa kile kijiwe chetu hawajambo?


.Ila kuna sintofahamu imetanda itabidi uite press kuweka mambo sawa.In short hakuna mwenye uhakika kama ni wewe uliyekua unatoa likes hapa kati 



Hatujambo bro,habar za kwako?Miye niko salama bro.
Ni pilika pilika tu na majukumu.
We hujambo? Masela wa kile kijiwe chetu hawajambo?
Niko poa bro. We waendeleaje?Hatumbao bro,habar za kwako?
Hope uko poa na pole na majukumu.
Naendelea vizuri,mitikasi tu za hapa na paleNiko poa bro. We waendeleaje?



Aliyekuwa anatoa likes ni mtekaji bro. Haya mambo ni magumu. Mimi siwezi kutoa likes kimya kimya. Nimenyang'anywa mpaka nywila aisee. Hata hapa naibia ibia tu. Cha muhimu tu ukoo unaendelea kupata heshima sana na hata kukua. Tumshukuru Mungu na nifikishie salamu zangu huko kijiweni. Nikimalizana na mtanange huu na kuachiwa nitarudi. Nawapenda sana !!!Naelewa bro,
Kijiweni kwema.Ntakufikishia salamu.Ila kuna sintofahamu imetanda itabidi uite press kuweka mambo sawa.In short hakuna mwenye uhakika kama ni wewe uliyekua unatoa likes hapa kati
![]()
Aliyekuwa anatoa likes ni mtekaji bro. Haya mambo ni magumu. Mimi siwezi kutoa likes kimya kimya. Nimenyang'anywa mpaka nywila aisee. Hata hapa naibia ibia tu. Cha muhimu tu ukoo unaendelea kupata heshima sana na hata kukua. Tumshukuru Mungu na nifikishie salamu zangu huko kijiweni. Nikimalizana na mtanange huu na kuachiwa nitarudi. Nawapenda sana !!!
#BringBackSYB#
#MtekwajiHuru#
#Ifyoudieyoudie#
#Youslapitandwatchitvibrateinslowmo#
#Heshimayaukoo#
View attachment 953923







Kale Kazaramo hovyo sana bro. Kanairusha hii picha mara kwa mara. Hakajui kuwa this is a matter of life and death


Kwema kabisaAfadhali
Kwema lakini?
Ukiruhusu aolewe kitakachozaliwa ni product ya ajabu itakuwa






Nafikiri umepata jibu 😀😀😀😀.
mkuu niko naipitia hii kitu, all facts related to zero jinsi ilivyopatikana na kuanza kutumiwa.. ahsante kwa mchango piaUnaweza pia kusoma riwaya tamu ya Mohammed Said Abdula (Bwana MSA) iitwayo Siri ya Sifuri. Imeelezea dhana na thamani ya sifuri kwa ufasaha sana
angalia badala ya kunitolea mm posa yakakutokea puaniNataka nije nikutolee posa dada mpendwa![]()
![]()
![]()