Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Heshimaaa Toa
Nleterewa


Usitutishe bibi wewe, ukiachwa achikaNmeona amekuita pm na ww ukaenda ....kabla ya kusema utakipata lin niulize kwann nmekiacha
Yakikukuta usilie

Sasa mimi eti niitwe na Ivuga PM halafu nisiende?? Mbona dhambi nyeusi hiyoNmeona amekuita pm na ww ukaenda ....kabla ya kusema utakipata lin niulize kwann nmekiacha
Yakikukuta usilie
Basi naona saa yangu inaniongopeaMda tayari boss
Mxiue siachikiUsitutishe bibi wewe, ukiachwa achika![]()

Nenda yakikukuta usije lia apaSasa mimi eti niitwe na Ivuga PM halafu nisiende?? Mbona dhambi nyeusi hiyo
Shi- ka-moo mwa-limu!Heshimaaa Toa
Naanzaje kulia kwa mfanoNenda yakikukuta usije lia apa
Kho! Kho! Kho! Kumbe ndio maana Sam anakulalamikia sana kuwa hujatuliaSasa mimi eti niitwe na Ivuga PM halafu nisiende?? Mbona dhambi nyeusi hiyo

Walimu washalala walinzi ndio tumebakiaShi- ka-moo mwa-limu!
OhSasa mimi eti niitwe na Ivuga PM halafu nisiende?? Mbona dhambi nyeusi hiyo

Basi shi-ka-moo mu-li-nzi!Walimu washalala walinzi ndio tumebakia
Marahaba mpenzi mlinziBasi shi-ka-moo mu-li-nzi!