Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
ShukraniNa kwako pia komredi, alamsiki.
Nisubiri twende wote, sitaki kubaki hapa na Nleterewa Nganengo na Inna
Sasa ntakupaje si unaondoka na ThadInabidi unipatie na mimi kidogo

nenda usintafute maisha yako yote ya jfWe hujaondoka tuya kwako yanakushinda utaweza ya wenzio?

Ahsante na kwako piaUsiku mwema. Mungu awatangulie na kuwalinda
Punguza wivu na msindikiza tu, alafu narudi kukuchukua wewe tukalaleSasa ntakupaje si unaondoka na Thadnenda usintafute maisha yako yote ya jf
Sasa ntakupaje si unaondoka na Thadnenda usintafute maisha yako yote ya jf
Stakiiii potea nae hukohukoPunguza wivu na msindikiza tu, alafu narudi kukuchukua wewe tukalale
Asante! Nakukabidhi lindo rasmi usisahau kufunga getiAhsante na kwako pia
![]()
![]()
![]()
Hujajua huyo kikongwe alivyo mjanja tokea lini HB akahongwa ugoro, hiyo ni mbinu tu ya tukose wote, wala usitishike.


ngashtuka machale kundesaaYamekuwa hayo tenaStakiiii potea nae hukohuko
NdioooYamekuwa hayo tena
Afadhali umekuja, ngoja nikuachie kirungu, kuna ndoto nzuri niliota mchana nataka nikaimalizie saivi.Ahsante na kwako pia
Nitarudi kesho tuyajengeNdiooo
Huyo ajuza mimi namjua vyema na silaha zake wala asikupe tabu.ngashtuka machale kundesaa