Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,452
Hahahaha, mwenzangu nani tena ?
Uko peke yako tu? Mwenzako hayupo?![]()
Uko peke yako tu? Mwenzako hayupo?![]()
Hahahaha, mwenzangu nani tena ?
HahahahaOoh poa basi...
Duh kweli unazipuliza yaani zile zote umazimalizaNapuliza tu hapa ma fegiView attachment 946148View attachment 946149

Siku ukimwona mwambie nimemmiss sanaSiku mingi sijakutana nae. Aisee
Hahahaha, kazi ya ulinzi usiku ,si unajua Rafiki?Duh kweli unazipuliza yaani zile zote umazimaliza![]()
Watakuwa wanakusingizia huna stress, wapuuzeHata mi sijui nna stress za nini! Huwa naambiwa tu nna stress...


Siku ukimwona mwambie nimemmiss sana
Aisee! Hiyo ni hatari sana!Hahahaha, kazi ya ulinzi usiku ,si unajua Rafiki?
Watakuwa wanakusingizia huna stress, wapuuze![]()
Nijibu NDIO au HAPANAHahahaha, nikujibu vipi tena Rafiki? Tuko pamoja ktk lindo usihofu,km cigar nakuletea maana naziipuliza hapa hatari

Aisee! Hiyo ni hatari sana!
Nijibu NDIO au HAPANA![]()
Nijibu NDIO au HAPANA![]()
Naunga mkono hoja....
Asante sana. Nimekumiss sana tu mama laooooNimekumiss mpaka naumwa![]()