Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Hahahaha, nawasubiri hapa,we unalala?
Wakija wasalimie
Wakija wasalimie
Ndio! Nipo likizo, wiki ijayo nitarudi lindoni. Wasalimie sana thad na innaHahahaha, nawasubiri hapa,we unalala?
Hahahaha ,sawa km wakija nitawasalimu,ingawa hao Mara nyingi nyie wadau wao km hampo na wao wanatowekaNdio! Nipo likizo, wiki ijayo nitarudi lindoni. Wasalimie sana thad na inna
Nimekumiss mpaka naumwaNdio! Nipo likizo, wiki ijayo nitarudi lindoni. Wasalimie sana thad na inna

Wewe sio mdau wetu?Hahahaha ,sawa km wakija nitawasalimu,ingawa hao Mara nyingi nyie wadau wao km hampo na wao wanatoweka

Wewe sio mdau wetu?![]()
Kwanini hudhani?Hahahaha, mie sidhani

Nakuletea dawaNimekumiss mpaka naumwa![]()
HahahahaKwanini hidhani?![]()
Kwanini hidhani?![]()
Niletee mwaya nipone haya maradhi ya kuwamiss walinzi wenzanguNakuletea dawa

Ng'ombe hazeeki maini, mimi mwenyewe ajuzaHahahaha, sie wengine wazee walinzi wa kimakonde ujue ,umri ushaenda

Nimekumiss mpaka naumwa![]()
Mambo haya mie muzee nitawezea wapiNakuletea dawa
Ng'ombe hazeeki maini, mimi mwenyewe ajuza![]()
Akishaleta dawa wewe njoo zako na pakti 3 za sigara, mambo yatajipaMambo haya mie muzee nitawezea wapi

Upigwe na nani?Hahahaha, usitake nipigwe

Akishaleta dawa wewe njoo zako na pakti 3 za sigara, mambo yatajipa![]()
Upigwe na nani?![]()
Hahahaha nilizua pakti 3 ,za 3 nanii


Ulijua za nini? Umejitendesha dhambi kwa kuwaza mabaya, katubu!Akupigie nini wakati nyote mtakuwa wafadhili wangu tuNa mleta dawa


