Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,415
Ewe mlinzi mwenzangu. Kama unakunywa maji mengi kupitiliza mpaka unaishia kuacha lindo mara kwa mara ili kwenda kukojoa....
Hatari sanaHahahaha, Leo wanakuja na canter au fuso ,wanaacha tiles tu
Hahah kifuatacho kazi hakuna tenaWezi leo wakija ni kujikusanyia tu wakitakacho....
Haka kaugonjwa hatari sana
Njooni tuselebuke jamani !
Boss ntafute kama tayrBoss
Nakusikiliza,nmekamilisha tyl