JamiiForums Usiku wa manane
Siku ngapi tena, ndo nahamia kabisa. Kama kuna makandokando yako yafyekelee mbali yasijetuvurugia furaha yetu
Duuh, huu sasa ushakua mtihani.
Siku ukija usisahau angalau mahindi gunia 30, maharage gunia 10, kuku wa kienyeji kama 50 na angalau Lita 40 za mafuta ya kupikia, maana muda utakaokaa naona utakua sio mfupi.
 
Naona unajizungusha tu si utaje kile cheo changu cha ukatibu mwenezi wa kamati ya....

Kwa taarifa yako pamoja na cheo changu hicho ila bado nina moyo wanyama sio wa chuma
Mmh leo una kauli tulivu sana, itabidi nikutafutie zawadi.
 
Nimekosa nauli ya kunileta huko, nitapa hivyo vitu ulivyonitajia?
Sasa si bora ubaki huko huko, kuna mwenzako anataka kuhamia na kila kitu anacho na kubwa zaidi kasema na kodi atanilipa we unaleta nyodo!
Baki tu huko huko aisee.
 
Back
Top Bottom