Kidogo changu mimi nawe, kikubwa cha Bakheresa!Kidogo
Kwahiyo unathamini lindo kuliko mimi?![]()
![]()
Na lindo la huku kaskazini magharibi nimwachie nani



Sina mpango wa kufukiwa mimi, maiti yangu itachomwa moto ili nianze kuuzoea kabla ya jehanamu!Dadeki hapa ndo umethibitisha kabisa ulivyokuwa mwanachama mwaminifu hata kufa, nikiwa hai wakati unafukiwa itabidi niongeze na za kwangu 7.
Sasa wewe kila tukikaa dk 2 tumekorofishana si bora nikawa mlinzi wa kudumu.Kwahiyo unathamini lindo kuliko mimi?![]()
Nimejirekebisha, nitumie nauli kesho nije Daslamu kukutembeleaSasa wewe kila tukikaa dk 2 tumekorofishana si bora nikawa mlinzi wa kudumu.

Jana mlimaliza kunong'onezana huko sirini au bado mwaendelea?![]()
Sina mpango wa kufukiwa mimi, maiti yangu itachomwa moto ili nianze kuuzoea kabla ya jehanamu!
Siri ya nini na Jumbe anajua?![]()
![]()
We si bingwa wa kujifanya huonagi wivu, yaliyo sirini hata mimi mwenyewe siyajui

Ewaah naona balimi zimeanza kupungua kichwani.Nimejirekebisha, nitumie nauli kesho nije Daslamu kukutembelea![]()
Nishaandika wosia huo hivyo hakuna atakayepingana na kauli ya marehemu![]()
![]()
Tokea lini marehemu akawa na jeuri ya kujipangia namna ya kuzikwa, nakuhakikishia tani 21 zitakuhusu na moto utamalizia.
Siku ngapi tena, ndo nahamia kabisa. Kama kuna makandokando yako yafyekelee mbali yasijetuvurugia furaha yetuEwaah naona balimi zimeanza kupungua kichwani.
Hivi utakaa siku ngapi vile?
Aisee, siamini kwa roho yako ilivyo kama inaumaga M/Kiti wa move on.Siri ya nini na Jumbe anajua?
Wivu sina ila roho inaniuma kwa kweli!![]()