Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Unacheka au unatucheka?Hahahaha

Unacheka au unatucheka?Hahahaha

Fresh tu za kwakoMambo vp
Hensome mbona umetoa avatar yako bwana23:37

Leta kama tulivyoKahawa na kashata
Safi kabsa,za siku?Fresh tu za kwako
Unacheka au unatucheka?![]()
Za siku ni nzuri tunapambanaSafi kabsa,za siku?
Tupo 10 tu mpaka sasampo wangapi??nipen idadi kamili
Nafurahi kusikia hvyo!!ubarikiwe huko uliko.Za siku ni nzuri tunapambana
Nimetafsiri kwamba unatucheka, hasahasa mimi ndio unanicheka zaidiHahahaha, inategemea umetafsiri vipi Mkuu

Shukrani ubarikiwe nawe popote ulipoNafurahi kusikia hvyo!!ubarikiwe huko uliko.
Duh,hapana kwann nikucheke sasa? Na kwann uwe wewe ? Nimefurahi tu sijamcheka MTU hapo zaidi ya kufurahi alivyoandika mdauNimetasiri kwamba unatucheka, hasahasa mimi ndio unanicheka zaidi![]()
Usijali bwana mi nakuzingua tu...ila nimefarijika kupata uhakika kuwa ulikuwa unacheka na si kutuchekaDuh,hapana kwann nikucheke sasa? Na kwann uwe wewe ? Nimefurahi tu sijamcheka MTU hapo zaidi ya kufurahi alivyoandika mdau
Samahani km umeona hivyo

Huh! Huh! Hakika umethibitisha kuwa u mwaminifu mpaka kufa
Usijali bwana mi nakuzingua tu...ila nimefarijika kupata uhakika kuwa ulikuwa unacheka na si kutucheka![]()