Nzuri kuskia,Yes I promise you
Lindo linaanza kunishinda..usingizi wanyemeleaNzuri kuskia,
Vipi mkuu, hujiamini ama?Utatuweza wote wawili kweli,
You sure.?!
Lindo linaanza kunishinda..usingizi wanyemelea
Hata nikilala jua tu Niko nawewe mwanzo mwisho
Sijakubishia kitu cho chote bro...Na TECNO yangu. I know my limits...Bro nakuona tuu unavyofurahi! Ile mipaka yetu inaishia wapi kwani.?



Vipi mkuu, hujiamini ama?
Hapo ni kweli. Shimba mpenda misamwanda huyu kweli hajatulia. Namwachia Capitalpool ngoja mi niendelee kuhangaika na misambwanda yangu bana...Nabaki nawewe shimba ana mambo mengi



Hujawahi kuwa kwenye mpapurano wa siriisamu ama?Najaribu ku picture situation itakuwaje kwake, najikuta nikijiuliza swali hilihilo.



Sijakubishia kitu cho chote bro...
Bring the laptop. Let's code together bro !!!
Unajiamini sana eeh!?Nitawaweza
Yes
Sifanyi hiyo michezo mimi.Hujawahi kuwa kwenye mpapurano wa siriisamu ama?![]()
Kwa kimsambwanda hicho, I am out...



Ha hahUnajiamini sana eeh!?
Nakuonya. Mi ni wa mikoani tena huku vijijini kabisa ndani ndani. Jihadhari sana !!!
Basi niachie...Tena na iPhone uiwache nikupe TECNO yanguSifanyi hiyo michezo mimi.



Basi niachie...Tena na iPhone uiwache nikupe TECNO yangu![]()