Kusema kweli nilikumiss sana, naomba nikuchumu kidogoWeek end, mshajitwalia vimwana

Vipi umeshafika au baiskeli yako imekutupa mtaroni baada ya kuona unaichosha na pombe zako!Jamani mi ndo nishakunywa nataka niende gheto, maombi yenu tafadhali

Tuko wangapi?nshachukua mmoja hapo natafuta wengine niondoke nao
TulizanaHoja ipi?NaUnGa mKoNo hOjA....
Naomba umdhibiti kabla hajakubuhuAseee,we jamaa ni fisadi na mbadhilifu ,unataka kujilimbikizia vimwana wote
Anza weweLeteni hadithi lindo linoge
Unaogopa? Tumeamka njooNdo mmeshalala wote ? daah!!!!
Mwambie huyondio kwanza kunakucha
Hauingii wapi?Mbona usiku hauingiii

Mimi nipo nawewe Leo mwanzo mwisho[/QUOT]
Mambo Yna
Kokoriko arushamko wapi?
Hauingii wapi?![]()
Hili swali mbona kama lina ukakasi? Au ni mate yangu tu yananidanganya?Hauingii wapi?![]()



Nipo nawewe pia..nishikilie vizuri nisikuponyoke
Mbona usiku hauingiii
Hauingii wapi?![]()
Bila shaka sasa mate yako yatakuwa sawaHili swali mbona kama lina ukakasi? Au ni mate yangu tu yananidanganya?![]()