Oni sigalla siku moja alizingua, alitoa tafsiri ya ngamia anaesemwa kwenye biblia, ile verse ya kwamba "ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindani ila si tajiri kuuona ufalme wa mbinguni" akawa anatoa tafsiri ya ngamia kuwa ngamia inamaana mbili.
Ngamia ni mnyama aishie jangwani ila pia ngamia ni kamba ngumu inayofungwa kwenye jahazi, na akamalizia kwa kusema ngamia anayesemwa ktk biblia ni ile kamba ya jahazi ambayo ni nene sana haiwezi pita ktk tundu la sindano.
Nikawaza kidogo nikaona mzee kaamua kutuongopia maana hata biblia ya kiinglish imeandika camel inamaana na camel inamaana nyingine ya kamba? Hapo ndo nikajua One Sigalla si mwanagenzi wa kweli.