Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,298
Sio kweli
Teeeh hali ngumuuu..alafu mmegoma kudangiwa sikuhz kwaiyo bora tutulie
Teeeh hali ngumuuu..alafu mmegoma kudangiwa sikuhz kwaiyo bora tutulie
@Astelia leo kakaza kwelikweli naoa yuko na chupa ya mzinga pembeni
hapana bhana nipo na silaha zangu basi na mbu naona wanarukaruka kutusindikizia usiku huuVzr aisee siku moja moja sio mbaya ku enjoy maishaTulikua beach tu,tulipitia chakula mahali tukaenda huko kupta upepo wa pwani na kuswim kwa sana tu.
Skuiz watu wanawapiga vitaTeeeh hali ngumuuu..alafu mmegoma kudangiwa sikuhz kwaiyo bora tutulie

Mmmh si kwa kazi hii mshahara wenyewe mdogoKutoa ni moyo
Humu ndani kuna raha yake, ukiwa na stress zako unakuja tu kupitia commentsio hvyo yaan pamoja na mawenge ya usingiz kumsoma uyo jamaa nmejikuta nacheka
Sanaa kuna watu wana vituko hatarHumu ndani kuna raha yake, ukiwa na stress zako unakuja tu kupitia comment
![]()
hapana bhana nipo na silaha zangu basi na mbu naona wanarukaruka kutusindikizia usiku huu
Kuna watu hawaagi wakitoka wametoka kimyakimyaNisingeweza kutorudi ningeaga kama naenda moja kwa moja
Mmmh si kwa kazi hii mshahara wenyewe mdogo
Kuna watu hawaagi wakitoka wametoka kimyakimya
Ukute ni wewe ngoja nikuchunguze vizuriHamna kitu, hapo najua unasindikizwa na nguvu ya 15000
Sanaa kuna watu wana vituko hatar
Ni kweli usemayoMshahara haujawahi kuwa mkubwa hata siku moja, maana ulivyo na majukumu ndivyo yalivyo. Sasa ndo usile, usinywe, usivae na uaihonge kisa mshahara mdogo?

Kabisaa hatuwezi kuwa na walinzi hewaWatafyekelewa mbaliii
Mmmh nina wasiwasi nawe mbona umeanza kupaza sauti kwa nguvu mwanzo ulikuwa unaongea kawaidasijapiga vyombo muda mrefu

Achen hzo saa nyingine mtu anapitiwaKabisaa hatuwezi kuwa na walinzi hewa
Lazima uwe na nidhamu kaziniAchen hzo saa nyingine mtu anapitiwa