Unalala kigetogeto au uko na familia ?? Tuanze apo kwanza mkuuHata sijielewi kwanini leo usingizi umegoma, huu uzi nitaufuta saa 1
Noma sana bora ningelala hata mchanatupo na mimi naona usingizi umeniparama hapa
Sina familia mkuu, jeshi la mtu mmojaUnalala kigetogeto au uko na familia ?? Tuanze apo kwanza mkuu
Tuko kibaoNikajua usiku huu niko pekee yangu macho
Nimetumia kila njia ili nisinzie lakini wapi dah nimeona bora niwashe tu dataTuko kibao
We ni kama mimi, nikaona nifungue ki uzi cha kupotezea mudaNimetumia kila njia ili nisinzie lakini wapi dah nimeona bora niwashe tu data
Mkuu uko zamu nininawasalimia tu, mimi sijakosa usingizi maana ni kawaida sana kutoboa nikiwa na mishe zinazohitaji utulivu.
![]()
Noma sana bora ningelala hata mchana
Na sisi wenye stress tufanye nini ili usingizi uje???Mchana usilale mkuu coz ukilala mchana usiku ujakeaha, kama usingizi unazingua kuja usiku basi jaribu ata kupiga pushap zako ata 20 thn jitupe Kitani usingizi unakuja araka, alaf usipendelee kunywa energy drink aina yyte kabla ya kulala coz zinakua na caffeine ambayo inaondoa usingizi
Energy drinks situmii kabisa, push-ups ndio zinatimua kabisa usingiziMchana usilale mkuu coz ukilala mchana usiku ujakeaha, kama usingizi unazingua kuja usiku basi jaribu ata kupiga pushap zako ata 20 thn jitupe Kitani usingizi unakuja araka, alaf usipendelee kunywa energy drink aina yyte kabla ya kulala coz zinakua na caffeine ambayo inaondoa usingizi
Jisomee kijitabu chako utapata tu usingizi kama mvivuNa sisi wenye stress tufanye nini ili usingizi uje???
Umepata mechi mpopo nini?Hodiiii Hodiiii lindoni..binti yna nimefika
Naomba nipokeeni..niwajuze yaliyonifika
Energy drinks situmii kabisa, push-ups ndio zinatimua kabisa usingizi
Piga mechi ndio kiboko ya usingizi tuInakua inatokezea baadhi ya day, mm mara nyingi huwaga nikitumia kahawa au energy drink aina yyte nakua kama mwanga ( usingizi shida sana) but pia kuwaza jambo flani sio poa kama unataka kulala, kwa sababu tunajua kwamba ubongo mara nyingi unakua unawaza mambo au matukio mbaya zaidi kuliko furaha au matukio mazuri
Karibu, hadi saa 11Hodiiii Hodiiii lindoni..binti yna nimefika
Naomba nipokeeni..niwajuze yaliyonifika
Okay, lakini mimi nimekosa tu usingizi sina hata ninachokiwaza wala sina huzuni yoyote wala fraha yoyote ila sina tu usingizi na sijui kwa nini, au kazi ya ulinzi inaninyemeleaInakua inatokezea baadhi ya day, mm mara nyingi huwaga nikitumia kahawa au energy drink aina yyte nakua kama mwanga ( usingizi shida sana) but pia kuwaza jambo flani sio poa kama unataka kulala, kwa sababu tunajua kwamba ubongo mara nyingi unakua unawaza mambo au matukio mbaya zaidi kuliko furaha au matukio mazuri