STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,599


mkuu mm ni mwanachama wa Chaputa, kwa mwaka inzaweza kupita sjapata dem, CHAPUTA OYEEEE
Piga mechi ndio kiboko ya usingizi tu


mkuu mm ni mwanachama wa Chaputa, kwa mwaka inzaweza kupita sjapata dem, CHAPUTA OYEEEE
Piga mechi ndio kiboko ya usingizi tu
Okay, lakini mimi nimekosa tu usingizi sina hata ninachokiwaza wala sina huzuni yoyote wala fraha yoyote ila sina tu usingizi na sijui kwa nini, au kazi ya ulinzi inaninyemelea




eti kazi ya ulinziHaha..ahsanteKaribu, hadi saa 11
Umepata mechi mpopo nini?
Wengi wapo viwanja wanatumia hela zao
Ooh!! Wewe vipi? Huna hela za kutumia viwanja kama mimiWengi wapo viwanja wanatumia hela zao
Ooh!! Wewe vipi? Huna hela za kutumia viwanja kama mimi
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
kweli sina lakini hata ningekuwa nayo bado nisingeenda, mwisho wangu kuwa mizunguko ni saa 4 hapo nimepitiliza sana
Usiniambie hukupata hata mwaliko, maana nimeona miss natafuta na Mzigua90 walikua wanatafta wasindikizaji kwanini usingejiungaOoh!! Wewe vipi? Huna hela za kutumia viwanja kama mimi
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ndivyo ulivyojiwekea au home wanabana?![]()
![]()
![]()
kweli sina lakini hata ningekuwa nayo bado nisingeenda, mwisho wangu kuwa mizunguko ni saa 4 hapo nimepitiliza sana
Haya we malizia ngonjera yako , karibu maji ilala
Haha. .hapa sina jibuUsiniambie hukupata hata mwaliko, maana nimeona miss natafuta na Mzigua90 walikua wanatafta wasindikizaji kwanini usingejiunga
Ni utaratibu wangu tu, mie mtu mzima bana yaani miaka 28 niwe bado naishi home?
Haiwezekani ukose... anyways
Haya we malizia ngonjera yako , karibu maji ilala
Kwani ajabu 28 kuishi home?Ni utaratibu wangu tu, mie mtu mzima bana yaani miaka 28 niwe bado naishi home?
Ukimchunguza vizuri mtu wa namna hiyo lazima awe na matatizo mahala. Kuanzia 25 home unafanya niniKwani ajabu 28 kuishi home?
Kuna pipo zina 35 bado zinagongea kwa wazazi
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Haya shibishi haya bhn one moreHaha..nimeshamaliza
Ahsante nimetoka kuyanywa hapa nipo ndindindi
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
hamna mkuu, niko na ratiba zangu tu binafsi, kukamilisha mambo ambayo sikupata muda wa kuyafanya mchanaMkuu uko zamu nini
Haya mkuuhamna mkuu, niko na ratiba zangu tu binafsi, kukamilisha mambo ambayo sikupata muda wa kuyafanya mchana