We mrembo umelala peke yako kama Mimi?Asante kaka.
Kaka muda
Wewe tena ulivyokuwa popo.Fanya hivyo, ahsante kwa ramani ,napita kote huko
Tuma ,tumaWewe tena ulivyokuwa popo.
Nitakutumia picha yake...kama hujampenda, natuma ingine
Kwanini mnalala peke yenu?Alaa kumbe!![]()
Ndioooo maanaake, ndio nilipopendea hapoooWaoooooo.....nahisi kama unaniingia moyoni vile
Popo wa mtandaoniWewe tena ulivyokuwa popo.
Nitakutumia picha yake...kama hujampenda, natuma ingine
Huo ni zaidi ya ukarimu, au kuna kitu unakichoche hapa?
![]()
Yaani company yangu mbuWe mrembo umelala peke yako kama Mimi?
Wewe umelala na nani?Kwanini mnalala peke yenu?

Sawa.Ndioooo maanaake, ndio nilipopendea hapooo
Lah Leo nimelala peke yangu. Mwenye nyumba kalala msibani.Wewe umelala na nani?![]()
Kalabash....sogea kwa mama Kamche hapaKalabash
So useme tuPopo wa mtandaoni


Huu uchochezi sio wa nchi hii. Nina uhakika hiyo dhambi mtakuwa mmeishiriki kwa 80%
Sasa wakatae wao tu.
Kila kitu tusha-arrange
Yaani washindwe wenyewe na vinywaji tunawalipia
Muhimu nyie muanze kupanga ratiba yenu
Kusemaje ?So useme tu
PoleLah Leo nimelala peke yangu. Mwenye nyumba kalala msibani.
Safi ,by SAA NNE malipo yote yatakua tayariKesho jioni mkuu,
Bahati za hivi siyo za kuwazaaa
Jamani...Huu uchochezi sio wa nchi hii. Nina uhakika hiyo dhambi mtakuwa mmeishiriki kwa 80%