Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,987
Najua mapenz yanauma bt sio kila kitu kiwe serioz mengine potezeaMautumbo!! mapenzi bhana hata kitu kidogo yanauma
Wakati mwingine nakosaga Maneno ya kuandika ujue....nabakia kuwa msomajiKote kote
Na utoro wangu, nitalaza watu nje
Kuanzia leo sifuatilii mambo ya mmu..Wakati mwingine nakosaga Maneno ya kuandika ujue....nabakia kuwa msomaji
Sipend uteseke katika sekta ya mapenz mi naamim umepeta mtu sahihi na wakat sahihi ..Kweli wewe ni msuluhishi
01:34
Nashukuru Mungu sijambo kabisa.
Ni sawa, ni maamuzi tuKuanzia leo sifuatilii mambo ya mmu..
Pa ovyo sana
Ah ah ah ah ah ah maisha ni kukosea na kukosea ndio kujifunzaKuanzia leo sifuatilii mambo ya mmu..
Pa ovyo sana
Mfunguage pm tuwe twawapa hai basiNi sawa, ni maamuzi tu
Nimejifunza leo