Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
Nilikutumia ujumbe siku kadhaa uliuona?
Nilikutumia ujumbe siku kadhaa uliuona?
Basi relation yako imekuwa tautologyKiukweli nimesema tu kurelate tu na wazee wanaovuta kiko. Sijui kama ni kweli
Hahahaha zaidi ya huyo
Yale ya kule tuyazungumzie kulekule bwana.Nilikutumia ujumbe siku kadhaa uliuona?
Mkuu ukiona hasira inazidi sana unachukua wanja unapaka ule wa ndege anaruka afu unajiangalia kwenye kioo unajiburudishaHahahaha zaidi ya huyo



Naaam na sijahitaji yasemwe hapa. Pia ungejibu kwa ufupi tu..
Dada tuliza mpira.....tuliza mpira!Naaam na sijahitaji yasemwe hapa. Pia ungejibu kwa ufupi tu..
Mkuu ukiona hasira inazidi sana unachukua wanja unapaka ule wa ndege anaruka afu unajiangalia kwenye kioo unajiburudisha
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejikuta nimechekaNataka nikuletee tumbaku za kutosha usukumizie uzee
Hahaaaa kweli mkubwa hakombi mboga...
Nataka nikuletee tumbaku za kutosha usukumizie uzee



atakua anaonekana km katoroka makumbushoMalcolm hataki kuaibika mbele ya totoz. Toka 2014 anasema ana 26yrs..
Hili swali linakufaa ww unaweza kuwa na jibu: kwanini mwanamke anajiremba asubuhi anakaa na makeup siku nzima na joto la nchi hii ila usiku kumetulia na kaubariiidi mbona hawapaki wakapendeza, eeh walale wakiwa wamependeza![]()
![]()
nimejikuta nimecheka




Mimi sijawahi tumia sigalaNataka nikuletee tumbaku za kutosha usukumizie uzee










Mimi nina miaka 26 kweli,Malcolm hataki kuaibika mbele ya totoz. Toka 2014 anasema ana 26yrs..









Nawe pia ¡buenas noches la mujer Astelia!Usiku mwema.