Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,437
- 110,060
Nilikutumia ujumbe siku kadhaa uliuona?
Nilikutumia ujumbe siku kadhaa uliuona?
Basi relation yako imekuwa tautologyKiukweli nimesema tu kurelate tu na wazee wanaovuta kiko. Sijui kama ni kweli
Hahahaha zaidi ya huyo
Yale ya kule tuyazungumzie kulekule bwana.Nilikutumia ujumbe siku kadhaa uliuona?
Mkuu ukiona hasira inazidi sana unachukua wanja unapaka ule wa ndege anaruka afu unajiangalia kwenye kioo unajiburudisha [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha zaidi ya huyo
Naaam na sijahitaji yasemwe hapa. Pia ungejibu kwa ufupi tu..
Dada tuliza mpira.....tuliza mpira!Naaam na sijahitaji yasemwe hapa. Pia ungejibu kwa ufupi tu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta nimechekaMkuu ukiona hasira inazidi sana unachukua wanja unapaka ule wa ndege anaruka afu unajiangalia kwenye kioo unajiburudisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka nikuletee tumbaku za kutosha usukumizie uzee
Hahaaaa kweli mkubwa hakombi mboga...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakua anaonekana km katoroka makumbushoNataka nikuletee tumbaku za kutosha usukumizie uzee
Malcolm hataki kuaibika mbele ya totoz. Toka 2014 anasema ana 26yrs..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakua anaonekana km katoroka makumbusho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali linakufaa ww unaweza kuwa na jibu: kwanini mwanamke anajiremba asubuhi anakaa na makeup siku nzima na joto la nchi hii ila usiku kumetulia na kaubariiidi mbona hawapaki wakapendeza, eeh walale wakiwa wamependeza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta nimecheka
Mimi sijawahi tumia sigalaNataka nikuletee tumbaku za kutosha usukumizie uzee
Mimi nina miaka 26 kweli,Malcolm hataki kuaibika mbele ya totoz. Toka 2014 anasema ana 26yrs..
Nawe pia ¡buenas noches la mujer Astelia!Usiku mwema.