Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
Hahaaaaaaaaaaa hata ww unatamani kua baby face ila unakimbiza age ya mugabe
Hahaaaaaaaaaaa hata ww unatamani kua baby face ila unakimbiza age ya mugabe
Macho mazito hili swali nitakujibu kesho yani siwezi tenaHili swali linakufaa ww unaweza kuwa na jibu: kwanini mwanamke anajiremba asubuhi anakaa na makeup siku nzima na joto la nchi hii ila usiku kumetulia na kaubariiidi mbona hawapaki wakapendeza, eeh walale wakiwa wamependeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuriiii kiko sio sigara boss
Kaka ake lemutuz
Kiko unaweza ukaiweka tu mdomoni ukavuta hewa unatoa hewa,Vizuriiii kiko sio sigara boss




Itakua ajabu..
Hahahahaa lemutuz akijicheki anajiona km sean kingston wakati ndo anatoka tokaKaka ake lemutuz
Oooh shauri yako.Hahaaaaaaaaaaa hata ww unatamani kua baby face ila unakimbiza age ya mugabe
70s bado mbichi. Ushapita kiwango alichoweka Mungu kuishi
Aaaah.Hahahahaa lemutuz akijicheki anajiona km sean kingston wakati ndo anatoka toka
Sent using Jamii Forums mobile app



khaaa, watoto hamna soni.Mwisho umekonfesi nwenyewe kwa kutuita watoto...
Le Mutuz Nation.Mwisho umekonfesi nwenyewe kwa kutuita watoto...
Mobimba nyenyee nyeee
Kitu kinachonifanya nione yule mzee is more than the word mzee itselfHahahahaa lemutuz akijicheki anajiona km sean kingston wakati ndo anatoka toka
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda alisomea had darasa la nne,Kitu kinachonifanya nione yule mzee is more than the word mzee itself
Kwa kawaida humu jf ukimzungumzia mtu yoyote maarufu watajitokeza waliosoma nae hata dr shika tulivomuulizia walikuja marafiki zake wa zamani
Ila le mutuz mwaka wa ngapi huu tuna muongelea ? Mpaka leo hajajitokeza rafiki wake wale classmate wake wa zamani
Sent using Jamii Forums mobile app



Mimi bado nipo you know...Mobimba nyenyee nyeee
Le usiku mwema nation
You Know