JamiiForums Usiku wa manane
Hili swali linakufaa ww unaweza kuwa na jibu: kwanini mwanamke anajiremba asubuhi anakaa na makeup siku nzima na joto la nchi hii ila usiku kumetulia na kaubariiidi mbona hawapaki wakapendeza, eeh walale wakiwa wamependeza

Sent using Jamii Forums mobile app
Macho mazito hili swali nitakujibu kesho yani siwezi tena
 
Hahahahaa lemutuz akijicheki anajiona km sean kingston wakati ndo anatoka toka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kinachonifanya nione yule mzee is more than the word mzee itself
Kwa kawaida humu jf ukimzungumzia mtu yoyote maarufu watajitokeza waliosoma nae hata dr shika tulivomuulizia walikuja marafiki zake wa zamani
Ila le mutuz mwaka wa ngapi huu tuna muongelea ? Mpaka leo hajajitokeza rafiki wake wale classmate wake wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kinachonifanya nione yule mzee is more than the word mzee itself
Kwa kawaida humu jf ukimzungumzia mtu yoyote maarufu watajitokeza waliosoma nae hata dr shika tulivomuulizia walikuja marafiki zake wa zamani
Ila le mutuz mwaka wa ngapi huu tuna muongelea ? Mpaka leo hajajitokeza rafiki wake wale classmate wake wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda alisomea had darasa la nne,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom