Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
Mkuu unasuuza na superior brandyUsiku wa manane...bush shambani baada ya supu ya kuku wa kienyeji tunadigest na number 1 Tanzanian brandy...View attachment 843615
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam mkuu. Hata ushibe vipi hii inaweka sawa mambo tumboni.. Na matokeo yake hii ni lazima bibie anyanyue mikono juu
Naipata sana superior brandy, huwa inanipaga kampani kila weekend, haijawah kuniangushaNaam mkuu. Hata ushibe vipi hii inaweka sawa mambo tumboni.. Na matokeo yake hii ni lazima bibie anyanyue mikono juu
Sent using Jamii Forums mobile app



