Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Nretelewa alikua anakuulizia
Aisee, tatizo mimi ni mkusanya ushahidi mzuri tu lakini kusimama kuuwasilisha ndo shughuli.Bora nimepata shahidi namba moja.
Bora hachelewi kukimbia
Niongezee yangu imeisha

Nretelewa alikua anakuulizia
Umenisahau Mimi!! BilaBora nimepata shahidi namba moja.
hii ishu itaishia njiani wallahPole bro,,, ndio uanaume huoNaam nili take a risk na nilitukanwa sana humu jamvini.
SitakiNitakufunza kuogelea kama utanipa funnguo wa moyo wako kila wikndi tutakua tunaenda bichi kuogelea
sipendi kuogeleaYamekuwa hayo tena!!!!Aisee, tatizo mimi ni mkusanya ushahidi mzuri tu lakini kusimama kuuwasilisha ndo shughuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ni leo
Natakua nakutengenezea ugali na samaki wabichi toka ziwa tanganyikaSitakisipendi kuogelea
Dah kweli asantee bila wewe sijui kama tungekuwepo bado endelea kutupa hivyo vitu
Jamani kweli??? Utafanya hivyo siku zote?Natakua nakutengenezea ugali na samaki wabichi toka ziwa tanganyika
Hahahaha
Nilitaka nishangae mkuu,, kwa juhudi zote hizi,,Dah kweli asantee bila wewe sijui kama tungekuwepo bado endelea kutupa hivyo vitu
Swadakta mkuu, hapa nachukua na video kabisa ikiambatana na alama za vidole.