JamiiForums Usiku wa manane
Ww na mwanike wako
aah nmekumbuka bro,, ile ni tru story lkn mm sio mhusika inamhusu mshikaji wangu Wa karbu sana,,

Sasa niliona niilete humu na mm nbebe jukumu zma km mhusika maana hata Kama ningesema ni mshkaji wangu kuna raia bado wengepinga,,

Khs kwenda bado hajaenda,, anapanga kwenda mwezi Wa kumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aah nmekumbuka bro,, ile ni tru story lkn mm sio mhusika inamhusu mshikaji wangu Wa karbu sana,,

Sasa niliona niilete humu na mm nbebe jukumu zma km mhusika maana hata Kama ningesema ni mshkaji wangu kuna raia bado wengepinga,,

Khs kwenda bado hajaenda,, anapanga kwenda mwezi Wa kumi

Sent using Jamii Forums mobile app
HUO NDIO UANAUME.
MIEZI 3 ILIUOPITA NILIVAA UHUSIKA WA KUA MM NI KE ILI KUMUOMBEA AJIRA RAIA FULANI HADI ID YANGU ICHUKULIWA KAMA SHEMALE
 
Jinsi wazee wa night shift tunavoingia kibaruani...

IMG_20180817_024743.jpg
 
Back
Top Bottom