Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,561
Kweli. Kwa ajili ya mwanamke nimpendae nitafanya hivo ili awe na furaha..Jamani kweli??? Utafanya hivyo siku zote?
Kweli. Kwa ajili ya mwanamke nimpendae nitafanya hivo ili awe na furaha..Jamani kweli??? Utafanya hivyo siku zote?
Safi sana chiefSwadakta mkuu, hapa nachukua na video kabisa ikiambatana na alama za vidole.
Sent using Jamii Forums mobile app

!!Tupo pamoja japo kombe hili la pili ulilonipa imepoa bhana au ulikuwa unasinzia hadi moto umezima!
Nimekubali ila kwa sharti moja..Kweli. Kwa ajili ya mwanamke nimpendae nitafanya hivo ili awe na furaha..
Ahsante sherti lipi??Nimekubali ila kwa sharti moja..
Tupo pamoja japo kombe hili la pili ulilonipa imepoa bhana au ulikuwa unasinzia hadi moto umezima!


hata mm nmelistukia mkuu,,sema sikulionja kabla sijawatembezea wadau, nsameheni kwa hloAsante. Naona hili darasa lina watoro wengi, mko wachache![]()
![]()
karibu
Asante. Naona hili darasa lina watoro wengi, mko wachache

Usijali nitakusamehe kwa ombi mojahata mm nmelistukia mkuu,,sema sikulionja kabla sijawatembezea wadau, nsameheni kwa hlo
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie watu wote wa lindo kwamba me ni wakoAhsante sherti lipi??
Siku hizi wanatoroka mnoo sijui tufanye nini kudhibiti jambo hiliAsante. Naona hili darasa lina watoro wengi, mko wachache
Waambie watu wote wa lindo kwamba me ni wako

Nipe kashata kama ipo
Asante, ila inabidi tufanye mpango tupate na kashata. Tuchangamshe midomo
Ma monitor na monitress wanazembea... Tukamtafute mwalimu wa darasa aitishe uchaguziSiku hizi wanatoroka mnoo sijui tufanye nini kudhibiti jambo hili
Sio mchezo hadi inaunguza
Bora umemwambia kashata muhimuAsante, ila inabidi tufanye mpango tupate na kashata. Tuchangamshe midomo
Akatafutwe haraka.. mwalimu wa darasa ni nani vile?Ma monitor na monitress wanazembea... Tukamtafute mwalimu wa darasa aitishe uchaguzi