spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
Last man standing
Duh sio mchezo wenye kazi zao wameanza.
umesahau kufungua mpk sahvNafunga geti waungwana,
Wale wa church kama mimi ibada njema
Wale ambao mpo nyumbani mshinde salama!
Ndio umekujaumesahau kufungua mpk sahv
Heshima yako mzeeItandalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hahah daah aisee kiumri mimi ni makamo ya mkuu Malcom Lumumba aisee.Lala ukue dogo😎😎😎
Malcom yeye mwenyewe dogo tu, pay respect here..Hahah daah aisee kiumri mimi ni makamo ya mkuu Malcom Lumumba aisee.
Kijana hebu endelea kuangalia movie/kusoma vitabu muda huu wkt wazee wako tunafikiria namna ya kupambana mjini kama yule CCNP Engineer,hahahMalcom yeye mwenyewe dogo tu, pay respect here..
😉😉😉😉😉Kijana hebu endelea kuangalia movie/kusoma vitabu muda huu wkt wazee wako tunafikiria namna ya kupambana mjini kama yule CCNP Engineer,hahah