JamiiForums Usiku wa manane
23:16 hapa nilipo ,ijumaa ya Leo ,lzm abebwe mtoto wa MTU ,mkiniona nimepotea mjue nimehifadhiwa sehemu
 
  • Thanks
Reactions: amu
AAAAAA chips za wapi mbona kubwa kubwa sana kama ndizi?napenda chips kuku nimetoka kula sasa hivi kwa mpemba ila pia nimetamani hizo
Hizi ni ndizi miss amu na niza home unapenda vyakula vya wapemba eeh kwanin?
 
Hizi ni ndizi miss amu na niza home unapenda vyakula vya wapemba eeh kwanin?
hapana leo nilikuwa nimechoka sana nlikuwa nafanya usafi wa maana sikupika chakula ndo maana nimenunua kwa boboo ,hongera kwa mpishi wa chakula hiko
 
hapana leo nilikuwa nimechoka sana nlikuwa nafanya usafi wa maana sikupika chakula ndo maana nimenunua kwa boboo ,hongera kwa mpishi wa chakula hiko
Asante!! Mara moja moja sio mbaya ila ulivoandika mpemba nimekumbuka kuna mpemba gmboto alikua anapika chips zinagombaniwa ila nyuma ya pazia kulikua na kitu
 
Asante!! Mara moja moja sio mbaya ila ulivoandika mpemba nimekumbuka kuna mpemba gmboto alikua anapika chips zinagombaniwa ila nyuma ya pazia kulikua na kitu
embu leta kaifa za nyuma ya pazia,mimi kama ni planned kununua chakula kama mtoko nina sehemu zangu aisee ila za mtaani ni kama hivi nkiwa sijapika sababu nina makazi au kahamu kaghafla kamenigusa japo ratiba yangu kila jumapili nakaanga chips
 
embu leta kaifa za nyuma ya pazia,mimi kama ni planned kununua chakula kama mtoko nina sehemu zangu aisee ila za mtaani ni kama hivi nkiwa sijapika sababu nina makazi au kahamu kaghafla kamenigusa japo ratiba yangu kila jumapili nakaanga chips
Alikua anatumia maji ya maiti kuoshea viazi vyake na ni sharti alilopewa na mganga ili apate wateja wengi na sehemu al ipo alikua karibu na chuo cha Kampala sasa kuna mwanafunzi ana majini ndie aliye mstukia
 
Back
Top Bottom