amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
yaani mimi nkufate?acha tu wakuwangieNjoo pembeni,hapa wanga wengi
yaani mimi nkufate?acha tu wakuwangieNjoo pembeni,hapa wanga wengi
Ahaaa basi ndio mimi hapa mzee baba mwenyeweok namjua huyo mtu ila nimemsahau hata ndo nikataka unikumbushe
Wewe unaweza kulike?hapana,taarifa nazopata za likes mnazonipa,na quotes tu hivyo ndo nlivyoset
Hahahayaani mimi nkufate?acha tu wakuwangie
Basi nakuja mm,niko hapa mtaani kwenu kona hapayaani mimi nkufate?acha tu wakuwangie
Tupo mkuu, za weekend?Wakuu Mpo?
Naona mapema kabisa bibie.Tupo mkuu, za weekend?
Si unajua kesho ni siku ya Bwana....inabidi tukeshe mapema ili kesho tusichelewe ibadaNaona mapema kabisa bibie.

Wikiend Njema Kabisa Vipi KwakoTupo mkuu, za weekend?
Iko poa japo naona inayoyoma kwa mwendo kasi kama treni ya umeme ya mzee babaWikiend Njema Kabisa Vipi Kwako

Wacha weeh hapa umezungumza kama mama mchungaji vileSi unajua kesho ni siku ya Bwana....inabidi tukeshe mapema ili kesho tusichelewe ibada![]()
(nimewaza kwa sauti)Basi Mororo Karibu Kwenye SogaIko poa japo naona inayoyoma kwa mwendo kasi kama treni ya umeme ya mzee baba![]()
Hivi kumbe sijakwambia kama siku hizi mimi ni mchungaji mtume nabii mke?Wacha weeh hapa umezungumza kama mama mchungaji vile![]()
Kumbe Jumatatu sio siku ya Bwana?(nimewaza kwa sauti)

Kuna chochote cha kusindikizia hizo soga? Au ni 'hapa stori tu kula kwenu'Basi Mororo Karibu Kwenye Soga
Kwenye Red,Nakazia!Kuna chochote cha kusindikizia hizo soga? Au ni 'hapa stori tu kula kwenu'
Aisee, utakua ni wakipekee kwakweli sio kwa vyeo vyote ivyoHivi kumbe sijakwambia kama siku hizi mimi ni mchungaji mtume nabii mke?
Jumatatu sio siku ya Bwana ni siku ya kaisari!
Uache kuwaza kwa sauti, utapata tabu sana![]()

Duh.. Maombi Hayo Nina Wasiwasi Nayo :evilAisee, utakua ni wakipekee kwakweli sio kwa vyeo vyote ivyo![]()
Vipi Mtumishi utakua na nafasi saivi nije unifanyie maombi?![]()