Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Sawa ,ndio naiipua jikoni babe wangu,.uji niweke chumvi au sukari?!haya babe usisahau kubeba uji na mihogo...sawa!
Sawa ,ndio naiipua jikoni babe wangu,.uji niweke chumvi au sukari?!haya babe usisahau kubeba uji na mihogo...sawa!
chumvi inapendezaSawa ,ndio naiipua jikoni babe wangu,.uji niweke chumvi au sukari?!


leo pia hujalala?Sleeping Sickness..
Utakulaje vilee badala ya kula chakula...Njaaa inauma hatari Kama Jana sijala vileee...
Naam chief Mwifwa,.mumu
niambie mwifwa,mimi ndo naamka kuna kaubaridi sikaelewi
Hapo unaota tuSijui nimeamka au bado nimelala , nauliza tu wakuu![]()
Kumbuka ya Mabala the farmerhaya babe usisahau kubeba uji na mihogo...sawa!
huyo kwa avatar yako ni naniHapo unaota tu
Kumbuka ya Mabala the farmer




mfyuuu,babe wangu sio mabala the farmer,..watu wazima hao tena wanaitana babe,kilimo kinachofanyika hapa cha kikubwa boss,alfajr hiiKumbuka ya Mabala the farmer