GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,078
- 16,398
01:18
Mrembo umelala...?01:24
Nipo njoo Bibie tusemizane kdgkuna mtu hapa?
Njoo tusemezane kdgkuna mtu hapa?
kivipi?
hakuna sijaipenda hata
karibu tukeshe
ndo maana sijaipenda mambo ya kupaa tena
ndio ni OMOTOLA JALADE a.k.a Omosexy
haya,ngoja nvute subra hapa
nipe stori yake huwa si mpenzi wa nollywood,ila nampenda appearance yake plus idadi ya wanae na still looking hot
Nelson Umenfanya nicheke,niache bana mwenzako aliniliwaza
kumbatia mto fumba macho
kidogo niandike sijui niamke nisonge ugali natamani chips zishuke kitandani nzishughulikie
mpigie simu akubembeleze ulale,mimi hapa kuna mtu kanlalia kifuani anakoroma namuonea wivu hatari natamani ningekuwa yeye
huo uchokozi sikuiamalizia hata nliogopa kupaa
mpigie yule anaefanana na waziri ummy mwalimu
watu woyo tunaongezeka tu idadi
acha na da vinci nasubiria stori ya omo ila njaa inauma jamani natamani mtu aniletee chakula wanaotoka viwanja mda huu
dar kuna kaubaridi cha kijinga sana mda huu
anajua id yako ya jf?
baridi hii na maji mengi unataka njikojolee?
mimi shuka yangu ndogo inakoroma tu hapa mara ipande kifuani mara hataki nimkumbatie ili mradi fujo tu
acha tu niendelee kusugua goti nipate shuka la kudumu hii hali sijaizoea kabisa
hii shuka yangu ndogo inayonpiga mateke hapa?yes ni ya dar
chakula ninacho kwa friji ila uvivu wa kuamka kupasha na kuanza kula
mimi hapa
Aseeewewe unatoka nje ya mstari hapa tunachangia kuanzia 6 usiku mpaka 11 alfajr si mda huu
Mambo niaje mkuuWatu mnalala mapema sana huko bongo






utakua umeamka lkn upo kitandaniSijui nimeamka au bado nimelala , nauliza tu wakuu![]()

zamu yako ram01:24
ila wewe ulichokosea kutompangia mdogo wako kwanguNipo njoo Bibie tusemizane kdg
babu umechelewa hiyo ilikuwa jana nlikesha,leo mapema sana nimelalaAseee
Babe muda wa kunoa Jembe huu,.haya uamke twende shambani sasa,.mm nimekuamshaje ss!!![]()
haya babe usisahau kubeba uji na mihogo...sawa!Babe muda wa kunoa Jembe huu,.haya uamke twende shambani sasa,.