HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Nimeona ametuma salam kwa thadyuko wapi?
Nimeona ametuma salam kwa thadyuko wapi?
ntafunga kesho ndo maana najaziaUnajazia kwani unaenda kulima
Kulipoa sana, bora umerudi. Nasubiri ujio wa thadSalama komredi, naona kilinge bado kina ulinzi wa kutosha hata baada ya kumpoteza mlinzi mkuu Mwifwa. Hongera komredi.
Naotaaa badoooHahaha naona Mtaalamu ameamua akuhonge kwa kutumia tekinolojia yake![]()
![]()
Naota naotaZilipendwa umeniweka kapunimr anakubana sana
Ndoto naskiaga huwa zinakuwa kinyume jiandae na njaa au huyo buzi ulonae mkamate Haswa otherwise utaumbukaNaota naokota madoraliView attachment 786323
Kazi ni kwakontafunga kesho ndo maana najazia
Au kuna ukweli ndani yake kiongozi![]()
![]()
Uchochezi umeanza![]()
![]()
Wifi unazurura huku saa hizi kaka yuko wapi?Naotaaa badoooView attachment 786328
Hata hivyo naona kupo vizuri tu komred, huu uzi hua naumis sana, una watu wa kipekee kwakweli.Kulipoa sana, bora umerudi. Nasubiri ujio wa thad
Sio unalala ki nke nke hahahhaaMwanaume wa ukweli ukilala lazima ukorome, sio mwanaume unalala na mpenzi wako utadhani kalala na dada wa kazi. Heshima ya mwanaume ukorome kama JENERETA, hata mtu akipita huko nje anajua upo na MWANAUME.
Usiku mwema
Hamna ukweli wowote komredi, labda aje atuambie ametekewa pande zipi saivi.Au kuna ukweli ndani yake kiongozi
tukeshe basi mpk niwe sawa
Huyu mtu amekua adimu sana. Ngoja tusubiriHamna ukweli wowote komredi, labda aje atuambie ametekewa pande zipi saivi.
Cc Thad
Kwa ndoto anazoota watakua na Mr Jr. wanafanya Mediation ya Utajiri.Wifi unazurura huku saa hizi kaka yuko wapi?

Kwa ndoto anazoota watakua na Mr Jr. wanafanya Mediation ya Utajiri.![]()
