Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,786
- 45,266
Salaam, amani iwe nawe!!Ninawasalim wote
Salaam, amani iwe nawe!!Ninawasalim wote
Tupo.Bundizz mida yao bado..
Hivi mwenza leo zamu yako eeh??Zawadi gani hiyo?![]()
Kwani hajarudi mwenza?Hivi mwenza leo zamu yako eeh??
Simuoni jomoniiiKwani hajarudi mwenza?
ChocolateZawadi gani hiyo?![]()
Weee mwifwa weweeeUmenionea.....
Ebu nyumbua hilo neno.
Chocolate hapana. JDChocolate
Na ingine yyte utakayo chagua

Ahsante mkuu, natumai siku imeenda vizuri!!Bradha karibuu
Hope na mimi nitatoka fent ford kwenye Uhuru, Mzalendo na Nipashe kwa siku inayofuata..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aaah yule jamaa anavo penda hizo ishu lazima atakuja
HahahaMmh,sijui zamu yake leo![]()
HahahahahaaaaWeee mwifwa weweee
Au kaja kwakoo nnHahaha
Aaah! Mimi nipo nawacheki tuu muulizabe hapo

Basi umeongezewa mke shoga. Mi nimeachana nae tuna week mbili sasa hivi.Simuoni jomoniii
Fresh tu brazaNambie bob
Naam kwa mapenzi yake MuumbaAhsante mkuu, natumai siku imeenda vizuri!!
Mweeeh! Chocolate za viwango ungezipenda.Chocolate hapana. JD![]()