Usijali, lazima nkujali!Ahsante napenda vile una nijali.
Hiyo hadithi hata sha ifuatilia
But naweza hata nikaanza mkiwa epi 50 ntawakuta kabsaa.
HahahaUsijali, lazima nkujali!
Ooooh.. Basi nikuahidi ntaanza kesho rasmi kipenzi kaka!! Nisome walau tatu, ila sasa inatakiwa episode ziletwe chache bhana
Na watanibandua kucha aki.. Mie nkipita naonaga wanasema weka ingineee.... Naishia kuguna tuu!!Hahaha
Wakikusikia wapenda hadithi unasema apunguze kasi wata kung'ata.
Yaan hujui utanifurahishaje ukijitahid uzifutilie, i will be more than happy
Sawa shem usijariHahaha
Nimekupa tahadhari tuu Shem
Nakuamini Sakayo wangu.Na watanibandua kucha aki.. Mie nkipita naonaga wanasema weka ingineee.... Naishia kuguna tuu!!
Usijali kaka kipenzi, nitajitahidi mnoo!!
fastaaa nikaja 
Nikutakie tuu usiku mwema mwaya!! Mie macho hayana ushirikiano!!Sawa shem usijari
Mzee baba kumbe ni ww tu ndio uliobaki hujui? Mbona muda tu sasa
Asante kwa kuniamini kipenzi kaka!!Nakuamini Sakayo wangu.
Basi leo hata nlikuwa sina mpango wa ku chat sana hapa. Nilivo ona tu dada kipenzi changu umekuja
fastaaa nikaja
![]()
Hahah!! Kwako pia shem ila muda sio mrefu nahisi nitakutafaNikutakie tuu usiku mwema mwaya!! Mie macho hayana ushirikiano!!
Nina uzi wangu ule wa valentine asee tokea pale mtoto mwenyewe tu alianza kuelewa show..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa kweli mim nilikuwa sina taarifa
Braza ulitumia mbinu gani kufanikisha hilo?


Thanks my lovely sistaAsante kwa kuniamini kipenzi kaka!!
Na asante kwa kuja just for me!! Naomba upumzike sasa mwaya, nami nilale sasa!!
Nikutakie usiku mwema, Mungu akulinde my dear!!
Ingekuwa vizuri tungeondoka wote tuu!! Ila nenda siasani kule hakuna madharaHahah!! Kwako pia shem ila muda sio mrefu nahisi nitakutafa
HahahahaahHahah!! Kwako pia shem ila muda sio mrefu nahisi nitakutafa

HahahaNina uzi wangu ule wa valentine asee tokea pale mtoto mwenyewe tu alianza kuelewa show..![]()
Amen!Thanks my lovely sista
May God protect you, and my sincere love be wth you.
Sleep well.
Hahah!! Acha tu niende kwenye siasa sasaIngekuwa vizuri tungeondoka wote tuu!! Ila nenda siasani kule hakuna madhara