Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,655
Mpatanishi, nakuomba kwa niaba ya wanajumia wa usiku wa manane uwapatanishe watu hawa tafadhaliYamekua hayo? Yaani hauna hata habari moja ya ICE
Mhhhh![]()
Mpatanishi, nakuomba kwa niaba ya wanajumia wa usiku wa manane uwapatanishe watu hawa tafadhaliYamekua hayo? Yaani hauna hata habari moja ya ICE
Mhhhh![]()
Ahahahaaaaaa
Itabidi niliwasilishe hili swala kwenye kikao ikibidi itengwe bajeti kwa ajili ya pesa ya kununulia mitumbwi


ndio maana nakupenda mwaliimu wanguOooh anaweza asirudi.![]()
![]()
akuuu nimemzoea Miller Wangu akiondoka ntavumilia
![]()
![]()
Naomba ujue mwaalimu tafadhali saaanaSijui hata
Mie nashindwa kuelezea kabisa, rafiki yake Miller ndio shahidi katika hiliKafanyaje tena gentleman wa kijiji?
Tabu ni pale mwl.anapokuwa mwanafunzinjoo kwa mwaaliimu Ney,
mapenzi bwana hayana fomula etiIceman juzi amejua kuuponda moyo wangu, kwa kifupi niliumia sana rafiki yangu acha tuu
Lazima arudi,hawezi niacha nitesekeOooh anaweza asirudi.
Kuzoea utazoea tuu.
kivipi ThadTabu ni pale mwl.anapokuwa mwanafunzi![]()
![]()
mapenzi bwana hayana fomula eti


Huyo mwanafunzi wangu, hamna neno kabisaWe mwana weeee chonde chonde...nasema chondechonde 3D akiliamsha dude mie sifanyi tena upatanisho...usiwashe moto kama hauna kikosi cha zima moto
mumu kama ameliweza hilo la kumpiku Mzigua itabidi aandaliwe tuzo kama sio ngao.
nimecheka kwa nguvuuu,..ngoja aje cha ukorofi wetuOkey maaUsimruhusu kulala, kuna jambo nataka ninene naye kwanza
Mie nashindwa kuelezea kabisa, rafiki yake Miller ndio shahidi katika hili
Akirudi poa,Lazima arudi,hawezi niacha niteseke
Hivi kumbe wewe ni mpatanishi? Mbona hukunipatanisha kwenye basi wakati nagombana na konda kuhusu chenji yangu wakati tunatoka arusini?![]()





Majukumu kumzidia.kwanini asirudi?![]()