JamiiForums Usiku wa manane
Mpenzi wangu mzuri, hayo maneno magumu ya namna hiyo umeyatoa wapi?
Embu usimpe nafasi shetani.

Usipaniki mpenzi, tusemezane. Wapenzi huzungumza na sio kupeana lawama.
Mbona yanazungumzika hayo mpenzi wangu jamani, umepatwa na nini?
Noo!
Yeah
Ina mi huwa nafanya makosa but sjawahi muita mtu baby mbele yako wala sjawahi bebika ukiwa unaumwa.
This is too much
Naaah naaa!
 
Back
Top Bottom