Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Sasa shemeji, ney she is dear shemeji. Nikimtoa tammissMtoe nje ya ukumbi
Mwambie naumwa asinsumbue mgonjwa
Sasa shemeji, ney she is dear shemeji. Nikimtoa tammissMtoe nje ya ukumbi
Mwambie naumwa asinsumbue mgonjwa
Mm Niko kwenye kundi la "wasiojulikana" brooMmmmh! Mbona hukutoa taarifa kama mimi?

Hapo ulipo nije kimiujizaWacha nianze kukusalimu,habari yako?
Noo!Mpenzi wangu mzuri, hayo maneno magumu ya namna hiyo umeyatoa wapi?
Embu usimpe nafasi shetani.
Usipaniki mpenzi, tusemezane. Wapenzi huzungumza na sio kupeana lawama.
Mbona yanazungumzika hayo mpenzi wangu jamani, umepatwa na nini?
Baby wangu iceman please usinifanyie hivyo myloveNooooo! Noooo! noooo!
Baby
mpaka nimecheka kwa nguvu. Vile unaishiwa nguvu unajaribu kuita kwa sauti ya chiniii "baby"Utaniweza????
HahahahaaAmna bhana,nililipenda tu.
Uje wapi?? Si utakuwa popobawa wewe.!!!AqkhuuuuHapo ulipo nije kimiujiza
Ndio nimeona Dear, Yaani nimepanik balaah, nisamehe rafiki yangu. Endelea kuniombea msamahaHivi unajua nilikuwa nakutetea??



Asubuhi panafungwa hapa. Lala anyway. Usiku mwemaNgoja nilale nitakujibu asubuhi
Acha uoga chief...fungukaa muda ndio huuNgoja nilale nitakujibu asubuhi


Chezea kupenda wewe
Ujanja wote kwisha
Shemeji unatetea maovu hapo.Sasa shemeji, ney she is dear shemeji. Nikimtoa tammiss