Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Huwa wanajisahau....Kuna siku unakuta geti liko wazi saa 2 asubuhi.
Huwa wanajisahau....Kuna siku unakuta geti liko wazi saa 2 asubuhi.
Eeeh mbona nlitoa taarifa hapa!Ulikuwa unaumwa,!?
Mpenzi wangu mzuri, hayo maneno magumu ya namna hiyo umeyatoa wapi?Aaah
Jamani
Mimi huyu Ney kanishnda
Yaan jana mi naumwa yeye ana bebika huku.
Ney stak kukuona tenaa
![]()
Hongera, bora uwahi kulala. Ukichelewa utakuta mkeo amelalwa na wengine
SawaSiku hizi mm nimeoa kwahiyo nawahi kulala
HahahaSio gumu sana,kidogo tu...
Umefurahi mwenyeweMapenzi kizungumkuti.

Haya kalale sasaAisee
Ukimuona Ney hapa ukumbini mto
Namm nilikuwa mgonjwaEeeh mbona nlitoa taarifa hapa!
Halaf wewe hata pole yako sku ina.
Khaa!

Am sorry loveKwa hapa Ney alivuka mipaka i was sick, she is flirtng with the guy.
Hapa mepenzi jeneza kwa kweli
Nifanyaje??Ukimuona Ney hapa ukumbini mto
Nashukuru MunguNambie shemeji,waendeleaje wewe?
Mm mzima kabisa dear, habari na wewe?Ndio.
Mzima wewe?
Hahaha
KaribuuuAiseee