JamiiForums Usiku wa manane
Wewe kila comment Gudume Gudume

Aaah mambo mengine ya utan yanakuwa yameshapita unataka mpaka demu wake anichambe ndo ufurahi acha hizo basiii hata huwez kupotezea.

Umeniuzi kifupiiii kila siku kila siku

Basi bhn naona unalazimisha ndoa mm na huyo Gudume .
Nimelia sana sijui kama utanibembeleza ninyamaze labda Mwifwa peke yake ndo anajua kuninyamazisha
Ooh! I'm so sorry Demiss
 
Kiongozi naona bado unasaka wa kukwaruzana nae kwenye post...wahenga wabaya sana, eti wagombanao ndio wapatanao, tukaaminishwa hivyo na Mahondaw
una maanisha nini hapo? Hebu fafanua vizuri
Wewe kila comment Gudume Gudume

Aaah mambo mengine ya utan yanakuwa yameshapita unataka mpaka demu wake anichambe ndo ufurahi acha hizo basiii hata huwez kupotezea.

Umeniuzi kifupiiii kila siku kila siku

Basi bhn naona unalazimisha ndoa mm na huyo Gudume .
Nimelia sana sijui kama utanibembeleza ninyamaze labda Mwifwa peke yake ndo anajua kuninyamazisha
 

Aaaaah! Inamaana jana wewe haujapatasikia karamu ya jubilee sijui anniversary ya Smart na Mahondaw? Sasa ikaibuka episode kwamba mwanzonimwanzoni walikua wanakwaruzana sana na figisufigisu nyingii baadae vumbi likatulia wamekua mwili mmoja.

Tokea jana naona watu wanajibizana short short tu alimradi wakwaruzane wafungue ukurasa mpya.
 
Umejisikia raha sana kuniharibia mood ya kuchat

Haya endelea kuenjoy ngoja nilale .



Dah! Pole sana, lazima upoteze bashasha..mke wa huyo jamaa atakua na ndomo sana, anaweza kukupiga vijembe ukayeyuka. Kana kwamba haitoshi mzee mzima anakuja kukuanzishia thread kwenye kadamnasi. Pole sana.
 
Aaaaah! Inamaana jana wewe haujapatasikia karamu ya jubilee sijui anniversary ya Smart na Mahondaw? Sasa ikaibuka episode kwamba mwanzonimwanzoni walikua wanakwaruzana sana na figisufigisu nyingii baadae vumbi likatulia wamekua mwili mmoja.

Tokea jana naona watu wanajibizana short short tu alimradi wakwaruzane wafungue ukurasa mpya.
Hapana sijaiona...hweee kwahiyo ni mwendo wa short cut and dry tu...yaraaaaaaauuuuuwiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom