JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Dah! Pole sana, lazima upoteze bashasha..mke wa huyo jamaa atakua na ndomo sana, anaweza kukupiga vijembe ukayeyuka. Kana kwamba haitoshi mzee mzima anakuja kukuanzishia thread kwenye kadamnasi. Pole sana.
😀😀😀😀aisee
 
Mchana kuna mtu kanitibua mbaya, natamani angekuwa jf member yamkini nami ningewaletea mrejesho mwakani [emoji4] [emoji4] [emoji4]

Hahahahaaaa don't try this at home. Shake well before use. That was exclusively for JF. Huko mtaani uwe mpole tu wasije wakakujeruhi bure ukijua muujiza umetimia
 
Back
Top Bottom