GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,073
- 16,390
Poleni mlioachwaWengine tuko kwenye mikesha,wengine pia tumeachwa![]()
Lakini najiulizwa unaachaje kipindi(baridi) kama hiki
Poleni mlioachwaWengine tuko kwenye mikesha,wengine pia tumeachwa![]()
Sina vituko mm sjui jinsia yako ngoja kwanza nikafukue makabur nitapata jib nilete![]()
![]()
![]()
una vituko wewe!
what!? Napenda sana,Hupendi kwani tulale?
Aiseeeeh kidogo nikutokee piemu![]()
![]()
![]()
una vituko wewe!


Hichi ndio kipindi cha vibuti sasa,..kama huna plan B ndio basi tena,.Poleni mlioachwa
Lakini najiulizwa unaachaje kipindi(baridi) kama hili .

![]()
naona watu wanapigiana ala tuu,...hahaha sijui vibabu vileee aah hebu ntumie kwanza
hii picha naipenda kweli.
tehteehh....Hichi ndio kipindi cha vibuti sasa,..kama huna plan B ndio basi tena,.![]()

bwana mbona wafukua hili kaburi langu?

Kumbe hali ndio hiyoHichi ndio kipindi cha vibuti sasa,..kama huna plan B ndio basi tena,.![]()
Hahhaah,..hebu niambie ww unapenda ielewekeje??maana mmmh!!!?![]()
![]()
![]()
hii picha naipenda kweli.
![]()
Hapana mkuu, kazi ya ulinzi haina adabu wallah maana kumbato nalisikiaga tu kwawengine ....Umekumbatiwa eeh??![]()
![]()

Hapo ndio utapoelewa maana ya usemi wa makungwi kuwa, 'mwanamke kidumu'Hichi ndio kipindi cha vibuti sasa,..kama huna plan B ndio basi tena,.![]()
Ohooo.....hahhaahaha....sasa ulikuwa unanicheka au ulikuwa unajicheka!??Hapana mkuu, kazi ya ulinzi haina adabu wallah maana kumbato nalisikiaga tu kwawengine ....![]()
![]()
![]()
Angekumbatiwa angepata nguvu ya kuwa hapa?Umekumbatiwa eeh??![]()
![]()
HakikaaKumbe hali ndio hiyo
Basi tulifute tu hakuna namna hata mm ninalo![]()
![]()
![]()
bwana mbona wafukua hili kaburi langu?
![]()
![]()
![]()
Nilikua nafurahia kifo cha wengi, kinakuaga kama harusi....Ohooo.....hahhaahaha....sasa ulikuwa unanicheka au ulikuwa unajicheka!??

Mtakuwa mnachekana nyie sio bureOhooo.....hahhaahaha....sasa ulikuwa unanicheka au ulikuwa unajicheka!??