Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Mimi ntakula ndizi choma 2 na samaki wa kuokwaNimeshafika mnakula nini?

Ugonjwa wangu huooo...Mimi ntakula ndizi choma 2 na samaki wa kuokwa![]()
![]()
![]()
Nimemiss sura zako ameizinggg chiefHivi jje's barua yangu uliifikisha kweli?
Mbona sipati majibu? Au ulifika na kumkabidhi wifi yako (mkewe), sasa imeleta kizaa zaa?
a et naingilia mambo take, acha nimuite aseme mwenyeweHivi jje's barua yangu uliifikisha kweli?
Mbona sipati majibu? Au ulifika na kumkabidhi wifi yako (mkewe), sasa imeleta kizaa zaa?
Oooh! Shukrani, kesho ntazirudisha nilitaka Demiss atambue jinsia yangu tuNimemiss sura zako ameizinggg chief
Wengine tuko kwenye mikesha,wengine pia tumeachwaNaona leo ke mpo wengi ,kulikoni?

Naona leo ke mpo wengi ,kulikoni?
Hii ni ishara kuwa wanawake tunaweza pasipo kuwezeshwaNaona leo ke mpo wengi ,kulikoni?
Ahaa,sawasawa mkuu!!!!Oooh! Shukrani, kesho ntazirudisha nilitaka Demiss atambue jinsia yangu tu
Pole dear!Ugonjwa wangu huooo...
Yaani nina njaa utafikiri siku dine
Uko na nn sasa best?Balimi nishaziacha naona zinanikosesha wachumba hapa....![]()
![]()
![]()
Picha zenyewe unazielewaga lakini? Au na wewe unaonaga vikongwe tu kama wengineAhaa,sawasawa mkuu!!!!

Umenichanganya mkuu kumbe wewe ni meOooh! Shukrani, kesho ntazirudisha nilitaka Demiss atambue jinsia yangu tu
Siku hizi nakunywa togwa tu, maana sina wa kuninunulia sodaUko na nn sasa best?
Picha zenyewe unazielewaga lakini? Au na wewe unaonaga vikongwe tu kama wengine![]()
![]()
![]()
naona watu wanapigiana ala tuu,...hahaha sijui vibabu vileee aah hebu ntumie kwanza