KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Huo utamu wa mwilini siutaki, raha ya utamu uanzie kwenye viungo vya hisia![]()
![]()
![]()
Doh!!! Mpwa unazidi kupotea....!!
Utamu upo mwilini tu mpwa wakati mwingine mdomo hudanganya......!!!!
Huo utamu wa mwilini siutaki, raha ya utamu uanzie kwenye viungo vya hisia![]()
![]()
![]()
Msalimie sana.Shemela,mi nawasiliana nae tu. Lakini kama kawa mpaka anipigie yeye.
Nilitee zile code basiJumapili? Hivi kumbe Mwifwa unaka sayari nyingine kabisa?
Angejuaa....Hajui kuwa kuna vitu vingine ni vichungu mdomoni lakini ni vitamu mwilini
Sijabata comrade, hapa nimeona nikuje kwa mama pima...Mzeee ushapata kinywaji kwa KikulachoChako?

Leo sina usingizi hata kidogoUlikuwa unaogopa?
Kwani lindoni ni sayari ipi?Jumapili? Hivi kumbe Mwifwa unaka sayari nyingine kabisa?
Wacha weee....naomba kuongozana nanyi nikalale kwenu maana muda huu maza hausi atakuwa ameshanifungia mlangoJamani mama na baba chanja tuna sign out.
Angejuaa....
Tumeisha toboa ama?Wangapi wapo tayari kutoboa ozone Leo![]()
Sasa ukimwaga mchele nani atamwaga maharage!!??Huo utamu wa mwilini siutaki, raha ya utamu uanzie kwenye viungo vya hisia![]()
![]()
![]()
Ngoja nikuachie funguo mimi naona maumivu yamenizidiaLeo sina usingizi hata kidogo
Saa kumi na mojaTumeisha toboa ama?
Sawa mfike salamaJamani mama na baba chanja tuna sign out.
Zipi?Nilitee zile code basi
Maumivu ya nini tenaNgoja nikuachie funguo mimi naona maumivu yamenizidia
Hamna wa kukataa, hapa tupo kama washingiliaji wa mpira ambapo mnakutana hamjuani ila mtakacho kishabikia ndicho kitawaunganisha na kuzungumza pamojaOmbi linaweza kataliwa ukajihisi huna thamani.
Karibu sanaNaweza watembelea huko tukipata moja mbili kwa hisani yangu sio mbaya ila nitakuwa naondoka siku hiyo hiyo