Usiku mwema popoJamani,wacheni mie nitulize mbavu zangu sasa. Muwe na usiku mwema
Kheri kabisa, Vipi wewe unaendeleaje?Asante mkuu, mzima wewe?
Ahahahaaaaaa hamna neno mydearAkitokeza hata kidole nishtue jamani
Ulale salama mpenziJamani,wacheni mie nitulize mbavu zangu sasa. Muwe na usiku mwema
Na kwako pia popoUsiku mwema popo
Asante na wewe pia.Ulale salama mpenzi
SalamaKheri kabisa, Vipi wewe unaendeleaje?
humu humu naranda randaMchana nilikua kibaruani, vipi wewe popo mwenzangu
HahahahahaaaaMkimuona mwifwa huko mambieni aje azime hili feni lake limekatika shingo. Nimekoma kulala magendo feni kelele kama helicopter
![]()
Hata kunitag hamna....Ahahahaaaaaa pole sana jamani,
Ujumbe mbona umefika
Hahahahahahaaaaa
Naona mchana na usiku zote zakohumu humu naranda randa
Leo nimeumbuka Bundi mwenzangu, tuwe na utaratibu wa kufichiana aibu jamani..