Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Toka lini jf unajiwekea unachotaka..halafu juzi nilibadilisha simu nime download naona imeleta version nyingine atiiii huku kwa apphahaha kumbe kaunganishiwa nilijua kaamua kuunga mwenyewe
Toka lini jf unajiwekea unachotaka..halafu juzi nilibadilisha simu nime download naona imeleta version nyingine atiiii huku kwa apphahaha kumbe kaunganishiwa nilijua kaamua kuunga mwenyewe
Ahahahaaaaaa acha uchonganishi dia,ndo ushaachwa hvyoo
Unancheka Inna! Hujui tu gharama za kumpenda Maserati wangu!hehehee
Where toooooo?
ndio maa kuna jf mpya iko updatedToka lini jf unajiwekea unachotaka..halafu juzi nilibadilisha simu nime download naona imeleta version nyingine atiiii huku kwa app
alafu sahv yuko anaota we unaranda randa hukuAhahahaaaaaa acha uchonganishi dia,
Baby wangu anawivu sio kidogo
Makutano yetuWhere toooooo?

Aisee lidumu penzi la maserati milele na mileleUnancheka Inna! Hujui tu gharama za kumpenda Maserati wangu!
Ahahahaaaaaa yaan nyie ni wabaya wazee wa kuvumbua![]()
![]()
![]()
fumanizi vepeeee





AsanteeNjoo pm uchukue tishu
Ndiooo. Sijaidhoea thoondio maa kuna jf mpya iko updated

Muache aote anenepe kidogoalafu sahv yuko anaota we unaranda randa huku





Makutano junctionMakutano yetu
Alafu kisa cha kunitupa ndio nini maana yake hivyo?
Haya mama, nasubiria mieMakutano junction![]()
![]()
![]()
Ney dear sasa hivi busy na kwaresma. Ikiisha kama kwa,kambi popote.





