Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Rudia haya maneno tenaSitaki kufanana na wewe,nitakosa wachumba
Rudia haya maneno tenaSitaki kufanana na wewe,nitakosa wachumba
Kwema kiongoziHeshima yako mkuu
Aiseee!Usimsikilize huyo pimbi
Exactly Si unajua mwanamke hajaumbiwa shida popote unakuwepo hakikisha wana enjoy lifeVyema kwakua cc ni wanaume acha tu komae ili wadada waztumie
Asante kwa kunimiss....Thad nimekumiss
nakupenda kwa moyo woteRudia haya maneno tena
nasubiri zawadi ya tar14Mbona leo hujaninunulia balimi umenambia ninywe maj?Exactly Si unajua mwanamke hajaumbiwa shida popote unakuwepo hakikisha wana enjoy life
HahahahaYeah ili tusivamiwe
Unataka kumuua mchaga wa watu ama?
Humu huwa Hamna wadada wanao toboa ozone au wadada walio humu ni wanandoaExactly Si unajua mwanamke hajaumbiwa shida popote unakuwepo hakikisha wana enjoy life
Nakuona kama unaogopaNasikilizia feni inavyokata upepo na mapaka yanalia huko nje!

Ahahahaaaaaa pole dear,Nimekushindaje best?
Leo nimeamua kutoa ya moyoni,nimechoka kuumiza mtima wangu
SikamooMbona leo hujaninunulia balimi umenambia ninywe maj?
Unarudi lini huku twekayalafukagadasawabamadhaTeh!
Mwanaume wa dar bhana![]()
![]()
VP wwAhahahaaaaaa pole dear,
Hivi ni nani anakuficha hivi lakini?Ahahahaaaaaa pole dear,