JamiiForums Usiku wa manane
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo:-

1.Awe mchaga kama Nleterewa Nganengo maana kwake sitalala njaa.

2.Awe mstaarabu kama Mwifwa, maana kwake nitaishi kwa amani.

3.Awe mtanashati kama HB wa kigogo,najua nikimuomba hela ya saluni hatanihoji mara mbili mbili.

4.Awe mfuga mbwa kama ipogolo,nikiwa na hamu ya nyama nitachinja mbwa nile.

5.Awe na gari kama mgunga pori, hapo tz 11 yangu itapumzika kutembea.

6.Awe mkulima kama No Escape, nikisikia njaa niingie shambani kuchuma hiki na kile nile.

7.Awe msanii kama spade4spade, aliite jina langu kwa madoido zaidi ya anavyoita jina la Maserati

8.Awe mpiga pamba kama dingi mtoto, hapo najua nitajaza kabati 20 za nguo.

9.Awe mpishi kama alibakari, anipikkie mahanjumati nile nifurahi.

10.Ajue kubebisha kama Kichwa Kichafu,anipetpet zaidi ya anavyompet jje's.

11.Awe sharp kureply kama Joseverest,areply sms zangu zaidi ya anavyoreply sms za Neybright.

12.Awe hana wivu kama Saint Ivunga,asivyomwonea wivu Inna.

13.Asiwe adimu kama Manga ML, mjr95 wala ArleN maana nikimmiss nitaumwa.
Ahahahaaaaaa

Umenishinda tabia wewe
 
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo:-

1.Awe mchaga kama Nleterewa Nganengo maana kwake sitalala njaa.

2.Awe mstaarabu kama Mwifwa, maana kwake nitaishi kwa amani.

3.Awe mtanashati kama HB wa kigogo,najua nikimuomba hela ya saluni hatanihoji mara mbili mbili.

4.Awe mfuga mbwa kama ipogolo,nikiwa na hamu ya nyama nitachinja mbwa nile.

5.Awe na gari kama mgunga pori, hapo tz 11 yangu itapumzika kutembea.

6.Awe mkulima kama No Escape, nikisikia njaa niingie shambani kuchuma hiki na kile nile.

7.Awe msanii kama spade4spade, aliite jina langu kwa madoido zaidi ya anavyoita jina la Maserati

8.Awe mpiga pamba kama dingi mtoto, hapo najua nitajaza kabati 20 za nguo.

9.Awe mpishi kama alibakari, anipikkie mahanjumati nile nifurahi.

10.Ajue kubebisha kama Kichwa Kichafu,anipetpet zaidi ya anavyompet jje's.

11.Awe sharp kureply kama Joseverest,areply sms zangu zaidi ya anavyoreply sms za Neybright.

12.Awe hana wivu kama Saint Ivunga,asivyomwonea wivu Inna.

13.Asiwe adimu kama Manga ML, mjr95 wala ArleN maana nikimmiss nitaumwa.
Basi anza kufanya ya walevi. Yaani onja kila mzinga mara moja afu unahamia kwa anayefuata, hadi unatumaliza utakuwa umepata jumla ya huyo mwanaume aliyezaliwa sayari ya Jupter!
 
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo:-

1.Awe mchaga kama Nleterewa Nganengo maana kwake sitalala njaa.

2.Awe mstaarabu kama Mwifwa, maana kwake nitaishi kwa amani.

3.Awe mtanashati kama HB wa kigogo,najua nikimuomba hela ya saluni hatanihoji mara mbili mbili.

4.Awe mfuga mbwa kama ipogolo,nikiwa na hamu ya nyama nitachinja mbwa nile.

5.Awe na gari kama mgunga pori, hapo tz 11 yangu itapumzika kutembea.

6.Awe mkulima kama No Escape, nikisikia njaa niingie shambani kuchuma hiki na kile nile.

7.Awe msanii kama spade4spade, aliite jina langu kwa madoido zaidi ya anavyoita jina la Maserati

8.Awe mpiga pamba kama dingi mtoto, hapo najua nitajaza kabati 20 za nguo.

9.Awe mpishi kama alibakari, anipikkie mahanjumati nile nifurahi.

10.Ajue kubebisha kama Kichwa Kichafu,anipetpet zaidi ya anavyompet jje's.

11.Awe sharp kureply kama Joseverest,areply sms zangu zaidi ya anavyoreply sms za Neybright.

12.Awe hana wivu kama Saint Ivunga,asivyomwonea wivu Inna.

13.Asiwe adimu kama Manga ML, mjr95 wala ArleN maana nikimmiss nitaumwa.
si mchezo
Hiki ni zaidi ya kiwanda
 
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo:-

1.Awe mchaga kama Nleterewa Nganengo maana kwake sitalala njaa.

2.Awe mstaarabu kama Mwifwa, maana kwake nitaishi kwa amani.

3.Awe mtanashati kama HB wa kigogo,najua nikimuomba hela ya saluni hatanihoji mara mbili mbili.

4.Awe mfuga mbwa kama ipogolo,nikiwa na hamu ya nyama nitachinja mbwa nile.

5.Awe na gari kama mgunga pori, hapo tz 11 yangu itapumzika kutembea.

6.Awe mkulima kama No Escape, nikisikia njaa niingie shambani kuchuma hiki na kile nile.

7.Awe msanii kama spade4spade, aliite jina langu kwa madoido zaidi ya anavyoita jina la Maserati

8.Awe mpiga pamba kama dingi mtoto, hapo najua nitajaza kabati 20 za nguo.

9.Awe mpishi kama alibakari, anipikkie mahanjumati nile nifurahi.

10.Ajue kubebisha kama Kichwa Kichafu,anipetpet zaidi ya anavyompet jje's.

11.Awe sharp kureply kama Joseverest,areply sms zangu zaidi ya anavyoreply sms za Neybright.

12.Awe hana wivu kama Saint Ivunga,asivyomwonea wivu Inna.

13.Asiwe adimu kama Manga ML, mjr95 wala ArleN maana nikimmiss nitaumwa.
Aiseh!
Ukimpata nitambulishe kwake
 
tapatalk_1518315219272.jpeg
 
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo:-

1.Awe mchaga kama Nleterewa Nganengo maana kwake sitalala njaa.

2.Awe mstaarabu kama Mwifwa, maana kwake nitaishi kwa amani.

3.Awe mtanashati kama HB wa kigogo,najua nikimuomba hela ya saluni hatanihoji mara mbili mbili.

4.Awe mfuga mbwa kama ipogolo,nikiwa na hamu ya nyama nitachinja mbwa nile.

5.Awe na gari kama mgunga pori, hapo tz 11 yangu itapumzika kutembea.

6.Awe mkulima kama No Escape, nikisikia njaa niingie shambani kuchuma hiki na kile nile.

7.Awe msanii kama spade4spade, aliite jina langu kwa madoido zaidi ya anavyoita jina la Maserati

8.Awe mpiga pamba kama dingi mtoto, hapo najua nitajaza kabati 20 za nguo.

9.Awe mpishi kama alibakari, anipikkie mahanjumati nile nifurahi.

10.Ajue kubebisha kama Kichwa Kichafu,anipetpet zaidi ya anavyompet jje's.

11.Awe sharp kureply kama Joseverest,areply sms zangu zaidi ya anavyoreply sms za Neybright.

12.Awe hana wivu kama Saint Ivunga,asivyomwonea wivu Inna.

13.Asiwe adimu kama Manga ML, mjr95 wala ArleN maana nikimmiss nitaumwa.
Hatari
 
Back
Top Bottom